Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu, amina Baba yetu, yetu, uliye M jina lako e litukuzwe
Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu, amina Baba yetu, yetu, uliye M jina lako e litukuzwe
Utupe leo chakula chetu Tunachohitaji utusamehe Makosa yetu, hey Kama nasi tunavyowasamehe Waliotukosea, usitutie Katika majaribu, lakini Utuokoe, na yule, milele na milele
Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu, amina Baba yetu, yetu, uliye M jina lako e litukuzwe
Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu, amina Baba yetu, yetu, uliye M jina lako e litukuzwe
Ufalme wako ufike utakalo Lifanyike duniani kama mbinguni, amina
Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu, amina Baba yetu, yetu, uliye M jina lako e litukuzwe
Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu, amina Baba yetu, yetu, uliye M jina lako e litukuzwe
Utupe leo chakula chetu Tunachohitaji utusamehe Makosa yetu, hey Kama nasi tunavyowasamehe Waliotukosea, usitutie Katika majaribu, lakini Utuokoe na yule msiba milele
Baba yetu, yetu, uliye (Yetu, amina) M jina lako e litukuzwe (Baba yetu)
Baba yetu, yetu, uliye (Yetu, amina) M jina lako e litukuzwe (Baba yetu)